Set an image for Animal Welfare

Sign In or Register

Animal Welfare

Research and Data
PUBLIC PROFILE

Wataalamu kuja na mikakati ya kulinda Punda ndani ya Afrika

Patricia Lumba photo

Added by Patricia Lumba
3 days ago

Linked from: youtube
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewataka wataalamu wa nchi 20 za Umoja wa Afrika ambao wamekutana leo jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili kutafuta mwarobaini wa kitaalamu wa kudhibiti kasi ya upoteaji wa punda barani Afrika.

Ulega amewataka wataalam kutoka katika nchi hizo kujadili kwa kina na kutoa mapendekezo ya kitafiti na kisayansi kuhusu njia zinazoweza kutumika kuwaokoa wanyama hao na kuziwasilisha ili zijumuishwe  katika sera na kanuni kwa ajili ya utekelezaji.

#AzamTVUpdates #MkutanoWaWafugaji #MifugoAfrika #Punda